CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimedhamiria kuwa kati ya Vyuo Vikuu 20 bora Barani Afrika ifikapo Mwaka 2030 kwa kuzalisha Waatalamu mahiri na wenye uwezo mkubwa wanaoendana na soko la ajira. Makamu Mkuu wa Chuo hicho,Profesa Faustine Bee ameyasema hayo hii Leo Jijini Dodoma katika kilele cha maonesho ya bunifu mbalimbali za wanafunzi wa Ndaki
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed