UDOM KUJENGA MATAWI 20 AFRIKA

CHUO Kikuu cha  Dodoma (UDOM) kimedhamiria kuwa kati ya  Vyuo Vikuu 20 bora Barani Afrika ifikapo Mwaka 2030 kwa kuzalisha Waatalamu mahiri na wenye uwezo mkubwa wanaoendana na soko la ajira. Makamu Mkuu wa Chuo hicho,Profesa Faustine Bee ameyasema hayo hii Leo  Jijini Dodoma katika kilele cha maonesho ya bunifu mbalimbali za wanafunzi wa Ndaki